Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ibra Class amtwanga Mzimbabwe kwa KO

Ibra Class Ns Ibra Class amtwanga Mzimbabwe kwa KO

Sun, 29 Jan 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Bondia wa Tanzania, Ibra Class (Mawe) amemshinda kwa TKO dhidi ya Bondia wa Zimbabwe, Ndodana Ncube.

Pambano hilo lilikuwa la roundi kumi lakini kufikia roundi ya nane Ndodana Ncube kuanguka na kushindwa kuinuka baada ya kuhesabiwa.

Pambano hilo lilifanyika viwanja vya Mkwakwani, Tanga, usiku wa kuamkia Januari 29, 2023.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live