Mon, 16 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bondia Mtanzania asieishiwa tambo na vituko Karim Mandonga, Jumamosi usiku alikuwa nchini Kenya kuzichapa na Mkenya Daniel Wanyonyi.
Katika Pambano hilo la raundi 10 lisilokuwa la ubingwa, Bondia Karim Mandonga ‘Mtu Kazi’ amempiga bondia Mkenya Daniel Wanyonyi kwa mtoano wa kiufundi (TKO) raundi ya sita.
Pambano hilo lililovuta hisia za wengi lilipigwa katika Ukumbi wa Kimataifa wa Kenyatta (KICC) nchini Kenya.
Tazama matukio yote muhimu katika pambano hilo;
????????HIGHLIGHTS: Karim Mandonga ???????? vs Daniel Wanyonyi ???????? pic.twitter.com/1QKZcel5j6
— Eric Njiru (@EricNjiiru) January 15, 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live