Bondia Tyson Fury amesema kwa kipindi cha miaka 10 hajawahi kupata mpinzani mgumu ndani ulingo kama Francis Ngannou baada ya kupata ushindi wa majaji 2-1 kwenye pambano lisilokuwa la mkanda lililochezwa mjini Riyadh,Saudi Arabia.
Bondia Tyson Fury amesema kwa kipindi cha miaka 10 hajawahi kupata mpinzani mgumu ndani ulingo kama Francis Ngannou baada ya kupata ushindi wa majaji 2-1 kwenye pambano lisilokuwa la mkanda lililochezwa mjini Riyadh,Saudi Arabia. Fury amesema; "Ni bondia mwenye mapigo mazuri, nampa heshima zote kwake na kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita sijawahi kupata mpinzani aliyenipa changamoto kubwa ulingoni kama yeye.”