Fri, 26 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Bondia, Deontay Wilder yupo katika mazoezi mazito kwaajili ya mpambano wake dhidi ya Luis Ortiz unatarajiwa kufanyika machi 3 mwaka huu.
Wilder ataingia ulingoni kutetea mkanda wake wa WBC uzito wa juu dhidi ya Mcuba asiyepigika,Luis Ortiz huko Barclays Center, Brooklyn.
Na endapo atafanikiwa kuurudisha mkanda huo atakuwa sehemu ya watu watakao hudhuria pambano kubwa na la kihistoria kati ya Anthony Joshua dhidi ya Joseph Parker utakaofanyika machi 31 huko Cardiff.
Chanzo: bongo5.com