Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Dulla Mbabe apigwa tena na Katompa

Katompa Mbabe Dulla Mbabe apigwa tena na Katompa

Sun, 26 Nov 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Bondia Abdallah Pazi “#DullahMbabe” ameendeleza unyonge kwa kupoteza kwa mara ya pili dhidi ya #EricKatompa wa DR Congo katika pambano lisilo la ubingwa la Uzito wa Super Middleweight lililofanyika #Arusha

Katompa ameshinda kwa pointi baada ya majaji watatu kumpa ushindi wa Pointi 93-97, 93-97 na 92-98

Baada ya pambano, Dullah amesema “Sijui Majaji au Chama cha Ngumi wana nia gani na mimi kwa kuwa nimecheza vizuri na mashabiki wameona kilichotokea.”

Chanzo: www.tanzaniaweb.live