Sun, 5 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bondia namba moja kwenye uzito wa juu Tanzania, Awadh Mohamed Tamim, jana ameibuka mshindi kwa TKO katika raundi ya tatu dhidi ya Bondia Msweden, Pezhman Seifkhani katika pambano la raundi nane la kugombea ubingwa wa Swedish Champion Heavyweight Title katika pambano lililopigwa Mjini Orebro.
Bondia namba moja kwenye uzito wa juu Tanzania, Awadh Mohamed Tamim, jana ameibuka mshindi kwa TKO katika raundi ya tatu dhidi ya Bondia Msweden, Pezhman Seifkhani katika pambano la raundi nane la kugombea ubingwa wa Swedish Champion Heavyweight Title katika pambano lililopigwa Mjini Orebro.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live