Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Bilionea Mark Zuckerberg apiga mtu

MART ZUCK Bilionea Mark Zuckerberg apiga mtu

Tue, 9 May 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mwanzilishi wa Facebook na Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Meta, Mark Zuckerberg amewashangaza mashabiki na wapenzi wa mchezo wa Karate baada ya kushinda medali za dhahabu na fedha katika mashindano yake ya kwanza ya jiu-jitsu ya Brazil.

Bilionea huyo mwenye umri wa miaka 38, Mark Zuckerberg ameuthibitishia ulimwengu kuwa anao uwezo mkubwa hata nje ya teknolojia baada ya kuposti picha kwenye mitandao yake zinazomuonesha akishinda katika shindano lake la kwanza la BJJ na kuondoka na medali.

Mnamo mwaka 2022, Zuckerberg alimwambia Joe Rogan kuwa anavutiwa mno na michezo ya ‘martial arts’ na tangu wakati huo amekuwa akifanya mazoezi.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live