Wed, 7 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tyson Fury amemwita Anthony Joshua kwenye “Batle of Britain”; Bondia Antony Joshua amejibu kwenye Twitter, akisema atakuwa tayari kupigana Desemba;
Oleksandr Usyk hatarajiwi kuwa tayari kwa pambano lisilopingika la ubingwa wa uzito wa juu na Fury mwaka huu.
Tyson Fury alikua anahitaji kukutana na Bondia Olexander Usyk ambaye alifanikiwa kumpiga bondia Antony Joshua na kutetea ubingwa wake. Usyk hayupo tayari kupigana mwaka huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live