Mon, 20 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Usiku wa kuamkia Disemba 20, michezo ya Ligi Kuu ya Kikapu nchini marekani (NBA) ilipigwa.
Lakini katika hali isiyo ya kawaida, Michezo mitatu (3) kati ya tisa (9) imeghairishwa kutokana na ongezeko la visa vya UVIKO19 huko nchini Marekani.
Tazama hapa chini matokeo ya michezo iliyopigwa;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live