Ukiachana na Ronaldo kuwa binadamu wa kwanza kuwa na wafuasi wengi zaidi duniani, kwa hapa kwenye mtandao wa Kijamii wa Instagram, Barani Afrika list inaongozwa na msanii Davido mwenye wafuasi zaidi ya Milioni 22.
Na hivi sasa Mama Africa Yemi Alade na yeye amefikisha Idadi ya wafuasi Milioni 16 kwenye ukurasa wake wa Instagram na hii inamfanya Yemi Alade kuwa msanii wa pili AAfrika kuwa na wafuatilia wengi zaidi.
List bado inafuatiwa na mwanadada Tiwa savage mwenye wafuasi Milioni 14 sambamba na Diamond Platnums mwenye wafuasi Milioni 14 pia , pamoja na Wizzkid mwenye wafuasi Milioni 13.
Tazama Picha hapa chini kuona idadi ya wafuasi wake instagram;