Tue, 28 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikao cha Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) na viongozi wa vyama na Shirikisho la Muziki Tanzania kilichofanyika katika ofisi za BASATA, leo Jumanne Desemba 28 kimetoka na maamuzi kuhusu tuzo za muziki.
BASATA imeeleza kuwa lengo la kikao ilikuwa ni kujadili na kupanga namna tuzo hizo zitakavyoendeshwa.
Tuzo hizo za Muziki zitatolewa na kusimamiwa na BASATA kwa asilimia 100.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live