Sun, 3 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Singeli ametakata katika usiku wa Tuzo za Muziki Tanzania baada ya kuibuka na tuzo tatu katika usiku wa jana.
Tuzo alizobeba msanii huyo ni pamoja na;
Msanii bora wa kiume wa singeli wa mwaka 2021 - Sholo Mwamba
Wimbo bora wa mwaka wa singeli - 'alowee' Sholo Mwamba.
Wimbo bora wa asili wa mwaka 2021 'asili yetu'
Chanzo: www.tanzaniaweb.live