Sun, 3 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtunzi bora wa mashairi wa mwaka ameshinda Profesa J kupitia nyimbo yake ya 'utaniambia nini".
Mtunzi bora wa mashairi wa mwaka ameshinda Profesa J kupitia nyimbo yake ya 'utaniambia nini". Tuzo hii ilikua ikiwaniwa na 'utu' ya Alikiba, 'mi amor' ya Marioo, Lisa ya Rapcha na Loyalty ya Darassa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live