Sun, 3 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tuzo za Muziki Tanzania zimetolewa usiku wa jana katika ukumbi wa Julius Nyerere International Convetion Centre(JNICC).
Katika upande wa muziki wa Taarab;
Msanii Bora wa kike Taarab 2021 - Khadija Yusuf.
Msanii bora wa kiume Taarab 2021 - Mzee Yusuf.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live