Sun, 3 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshindi wa Tuzo ya Mtumbuizaji bora wa kiume 2021 kwenye Tuzo za Muziki Tanzania ni CEO wa Konde Gang, Harmonize.
Mshindi wa Tuzo ya Mtumbuizaji bora wa kiume 2021 kwenye Tuzo za Muziki Tanzania ni CEO wa Konde Gang, Harmonize. Tuzo hii ilikua ikiwaniwa pia na Alikiba, Sholo Mwamba, Dulla Makabila na Whozu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live