Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

TID Awachana Ukweli Wasanii wa Sasa

TID TID Awachana Ukweli Wasanii wa Sasa

Wed, 12 Jan 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Msanii TID 'Top in Dar Mnyama' ameshea maoni yake kuhusu muziki kwa kusema waimbaji wengi wa sasa wanagezana jinsi ya kuandika mashairi kitu ambacho ni kibaya sana.

"Waimbaji wengi wa sasa wanagezana kuandika maishiri, mashairi wanaondika wao sasa hivi hayasaidii kudumisha tamaduni zetu na jamii ili kuelimisha kuasa na kuburudisha".

"Watu wamekua wakichochea ngono na kudhalilisha wanawake sidhani kama tutaachia urithi mzuri vijana wetu".

Chanzo: www.tanzaniaweb.live