Wed, 17 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Wasanii wa muziki wa dancehall Bongo, Chibwa na Tanah Tanchy wameachia video ya ngoma yao mpya iitwayo ‘Alone’ audio ya ngoma hiyo imetayarishwa na Osama kutoka Free Nation, wakati video imeongozwa na Director Eddy.
Wasanii wa muziki wa dancehall Bongo, Chibwa na Tanah Tanchy wameachia video ya ngoma yao mpya iitwayo ‘Alone’ audio ya ngoma hiyo imetayarishwa na Osama kutoka Free Nation, wakati video imeongozwa na Director Eddy.
Chanzo: bongo5.com