Mon, 18 Dec 2017
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Tekno ameachia video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la ‘Only One’ ambao ametoa kama zawadi kwa mashabiki wake ikiwa leo Desemba 17, 2017, anasherehekea siku yake ya kuzaliwa. Tazama kichupa hapa chini kisha acha Comment yako juu ya wimbo huo
Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Tekno ameachia video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la ‘Only One’ ambao ametoa kama zawadi kwa mashabiki wake ikiwa leo Desemba 17, 2017, anasherehekea siku yake ya kuzaliwa. Tazama kichupa hapa chini kisha acha Comment yako juu ya wimbo huo
Chanzo: bongo5.com