Mon, 7 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwishoni mwa mwezi uliopita Wizara ya sanaa wakishirikiana na COSOTA walizindua Tuzo za muziki pamoja na ugawaji wa mirabaha kwa wasanii.
Wasanii mbalimbali waliweza kupokea mgao huo ambao unatokana na kazi zao kuchezwa katika vituo mbalimbali vya redio na televisheni.
Hii hapa ni list ya wasanii wakike 20 waliopata gawio kubwa katika mgao wa mirabaha wakiongozwa na Rose Mhando.
Listi kamili Tazama jedwali hapa Chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live