Thu, 16 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shindano la Miss World 2021 limeahirishwa kutokana na maambukizi ya UVIKO19, na litafanyika tena ndani ya siku 90.
Shindano la Miss World 2021 limeahirishwa kutokana na maambukizi ya UVIKO19, na litafanyika tena ndani ya siku 90. Washiriki na watumishi wengine wa shindano hilo lililokuwa lifanyike leo Desemba 16, 2021 wamewekwa karatini, na wataruhusiwa kuondoka wakithibitika kuwa wazima.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live