Mon, 24 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa bongo fleva, Msami kupitia ukurasa wake wa instagram amefunguka kuhusiana na kurogwa na msanii mwenzake na ana ushahidi wa sauti yake akiongea na mganga.
Hili la Msami ni muendelezo wa malalamiko yanayotolewa na wasanii wa Muziki ambao hulalama kuhusu kufanyiwa vitendo vya kishirikina na wasanii wenzao.
Je, Msami awataje?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live