Wed, 23 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mimemzuia Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania (SMT) kutekeleza majukumu yake mpaka pale watakapotoa muongozo.
Katika Barua yake iliyotolewa leo Machi 23, kwenda kwa shirikisho hilo, BASATA imefikia uamuzi huo kutokana na sintofahamu inayoendelea baada ya uteuzi wa Steve kama Msemaji wa Shirikisho hilo, ambapo kuna baadhi wa wasanii wameonekana kumpinga.
Soma kwa Kina Barua ya BASATA hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live