Fri, 24 Jun 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wadau na mashabiki mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva wanaeleza masikitiko yao juu ya kupotea kwa msanii Aslay ambaye waliamini angekuwa juu mno kwenye muziki kutokana na kipaji kikubwa alichonacho.
Wadau na mashabiki mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva wanaeleza masikitiko yao juu ya kupotea kwa msanii Aslay ambaye waliamini angekuwa juu mno kwenye muziki kutokana na kipaji kikubwa alichonacho. Hata hivyo, wanasema hali imekuwa tofauti na mashabiki wake wanammisi huku wakijiuliza amekosea wapi?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live