Wed, 1 Jun 2022
Chanzo: eatv.tv
Msanii Q Chief amemtaja Alikiba kama ndio msanii wake anayempenda wa muda wote kwa sababu hana mambo mengi na ameacha mziki wake uongee.
Akizungumza Q Chief amesema kwamba
"Ali its my favorite of all time kwa sababu hana makeke, hana mambo mengi, ameacha mziki wake uzungumze sana kuliko mambo mengine".
"Hii ndio sababu namuheshimu kila mara kutoka moyoni mwangu, kwanini nimkatae mtu kwa sababu za tofauti za watu wengine".
Chanzo: eatv.tv