- Ziana Achana, ambaye jina lake kamili ni Violet Asale, alishtumiwa kumuua mpenzi wake baada ya kumuuma mara kadhaa
- Mwanamuziki huyo chipukizi anapenda kuchapisha picha zinazoanika uchi wake mtandaoni
- Ukurasa wake wa mtandao jamii unamuelezea kama msanii mwenye bidii ambaye anapenda kujilinganisha na mwimbaji Akothee
Violet Asale kwa sasa anazuiliwa na makachero baada ya kukamatwa kuhusiana na kumuua mpenzi wake wa KDF.
TUKO.co.ke ilifanya udukuzi kumhusu mwimbaji huyo chipukizi na kugundua mengi ikiwemo picha zake kabla ya kugeuka mnyama.
Hii hapa picha za Asale ambaye anafahamika kama Zian Achana.
1. Achana ni mwanamuziki chipukizi ambaye anapenda kuchapisha picha za shughuli zake kwenye Instagram.2. Mrembo huyo amekuwa kwenye mahojiano kadhaa ya TV akijaribu kustawisha taaluma yake ya muziki.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.