Mwanaume mmoja aliyejitangaza kuwa yeye ni Yesu Kristo wa Bungoma (Yesu wa Tongaren) huko nchini Kenya amedai kuwa maisha yake yako hatarini kwasasa na hivyo kukimbilia Polisi.
Mwanaume mmoja aliyejitangaza kuwa yeye ni Yesu Kristo wa Bungoma (Yesu wa Tongaren) huko nchini Kenya amedai kuwa maisha yake yako hatarini kwasasa na hivyo kukimbilia Polisi. Hii ni baada ya sehemu ya wakazi wa Bungoma kusema ni lazima asulubiwe wakati wa Pasaka kama jinsi Yesu alivyosulubishwa huku wakimuhakikishia kwamba ikiwa kweli yeye ndiye masihi, atafufuka siku ya tatu na kwenda mbinguni hivyo asiwe na wasiwasi hata kidogo.