Thu, 19 Nov 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Msanii kutoka nchi Nigeria Yemialade anatarajia kutoa Album yake ya Tano (5) rasmi mapema kesho Novemba 20,2020.
Msanii kutoka nchi Nigeria Yemialade anatarajia kutoa Album yake ya Tano (5) rasmi mapema kesho Novemba 20,2020. Yemialad ameshare Art work pamoja na Tracklist ya ngoma ambazo zitapatikana kwenye Album yake hiyo aliyoipa jina la “Empress” yenye ngoma 15.
Chanzo: zanzibar24.co.tz