Thu, 4 Mar 2021
Chanzo: www.habarileo.co.tz
Watu kumi wakiwemo marubani wawili wamefariki dunia jana baada ya ndegekuanguka katika Uwanja wa Ndege Jimbo la Jonglei nchini Sudan Kusini, Gavana wa mkoa huo amethibitisha.
Watu kumi wakiwemo marubani wawili wamefariki dunia jana baada ya ndegekuanguka katika Uwanja wa Ndege Jimbo la Jonglei nchini Sudan Kusini, Gavana wa mkoa huo amethibitisha. "Ilikuwa kwa mshtuko na hofu kubwa kupokea habari za ajali ya ndege (HK-4274) ya Shirika la Ndege Kuu la Sudani Kusini iliyotokea leo (jana) saa 5.05 alasiri huko Pieri Airstrip," Gavana Denay Jock Chagor alisema katika taarifa. yake.
Chanzo: www.habarileo.co.tz