Shirika la Umoja wa Mataifa Linalohudumia Watoto (UNICEF) limesema Watoto Milioni 1 huenda wasiende Shule kutokana na matukio ya utekaji nyara yanayolenga Wanafunzi
Zaidi ya Wanafunzi 1,000 wametekwa nyara na magenge ya uhalifu katika Majimbo kadhaa #Nigeria tangu Desemba 2020, huku mamia bado wakiendelea kushikiliwa.
Kwa mujibu wa UNICEF, mashambulizi 20 yametokea Shuleni mwaka 2021 ambapo Wanafunzi 1,400 walitekwa na 16 kupoteza maisha. Wengi wao huachiwa baada ya wahalifu kulipwa fedha.
Kufuatia matukio hayo yakiualifu ni dhahiri kuwa maisha ya Watoto mashuleni ni hatari na pia kupelekea watoto wengi kupata hofu ya kwenda shule.