Sat, 9 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wizara ya Afya Nchini humo imetangaza ongezeko kubwa la maambukizi ya UKIMWI ambapo Watoto wa Kike 98 wenye Miaka 10 hadi 19 huambukizwa VVU kila wiki.
Katika kipindi cha Januari hadi Februari, Wasichana 45,724 wamekutwa na Mimba huku 2,196 wakikumbana na Unyanyasaji wa Kijinsia kwa mabinti wenye Miaka 12 hadi 17.
Takwimu hizo zinatajwa kuwa ni mara tatu ya idadi iliyokuwepo katika Miaka yote.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live