Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Wapinzani DRC wasema kasoro zinatishia uhalali wa matokeo

Wapinzani DRC Wasema Kasoro Zinatishia Uhalali Wa Matokeo Wapinzani DRC wasema kasoro zinatishia uhalali wa matokeo

Fri, 15 Dec 2023 Chanzo: Bbc

Wakati Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ikijiandaa kwa uchaguzi wiki ijayo, upinzani na waangalizi huru wanaonya kuwa masuala ikiwa ni pamoja na kadi za wapiga kura zilizofutika, ndege zilizozuiwa katika kampeni, na ucheleweshaji wa orodha ya uchaguzi vinatishia uhalali wa matokeo.

Wakati Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ikijiandaa kwa uchaguzi wiki ijayo, upinzani na waangalizi huru wanaonya kuwa masuala ikiwa ni pamoja na kadi za wapiga kura zilizofutika, ndege zilizozuiwa katika kampeni, na ucheleweshaji wa orodha ya uchaguzi vinatishia uhalali wa matokeo.

Kwa miezi kadhaa, tume ya uchaguzi ya CENI imepinga ukosoaji kwa kushindwa kuhakikisha uchaguzi wa huru na haki kama ilivyoahidi, hata ikitaja matatizo ya usafiri na vifaa katika kuandaa kura ya urais na ubunge katika nchi hiyo ya pili kwa ukubwa barani Afrika.

Mivutano imeongezeka katika wiki za mwisho za kampeni kabla ya kura ya Desemba 20. Wapinzani wa Rais Felix Tshisekedi wamelalamikia kile wanachokiita nafasi isiyo sawa ya kushindana na kuibua shutuma ambazo mamlaka zinapanga kuvutia uchaguzi upande wao ikiwa ni pamoja na kutumia daftari la wapiga kura. Hata hivyo tume ya uchaguzi -CENI na ofisi ya rais wanakanusha hili.

Chanzo: Bbc