Kiongozi wa Kamati ya Kitaifa ya Majadiliano, Kalonzo Musyoka amesema, kwasasa Upinzani Nchini humo unamtambua #WilliamRuto kama Rais baada ya kuonesha jitihada za kutafuta muafaka kati ya Serikali na upande wa Upinzani ukiongozwa na #RailaOdinga
Kiongozi wa Kamati ya Kitaifa ya Majadiliano, Kalonzo Musyoka amesema, kwasasa Upinzani Nchini humo unamtambua #WilliamRuto kama Rais baada ya kuonesha jitihada za kutafuta muafaka kati ya Serikali na upande wa Upinzani ukiongozwa na #RailaOdinga Amesema Rais ameonesha ukomavu na msimamo wa Serikali kwa kuunga mkono mazungumzo yanayoendelea kwa pande mbili, licha ya upinzani kutoka kwa Naibu wake, #RigathiGachagua.