Fri, 14 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uganda itaharibu dozi zaidi ya dozi 400,000 za COVID-19 ambazo zimeisha muda wake wa matumizi kutokana na kasi ndogo ya utoaji chanjo nchini humo
Waziri wa Afya wa Uganda, Jane Ruth Aceng amesema chanjo zilizopelekwa mikoa ya kaskazini hazikutumika. Dozi zilizoisha muda ni modern ana AstraZeneca
Waziri Aceng ametoa wito kwa raia kupata chanjo. Hadi sasa dozi 12,220,106 ndio zilizotolewa kwa watu. Uganda imerekodi vifo 3,378 tangu mwanzo wa janga la corona
Chanzo: www.tanzaniaweb.live