Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Uchaguzi Nigeria: Peter Obi ashinda Lagos

Images.jpeg 10 Uchaguzi Nigeria: Peter Obi ashinda Lagos

Tue, 28 Feb 2023 Chanzo: dar24.com

Tume ya Uchaguzi nchini Nigeria- INEC, imemtangaza mgombea wa Kiongozi wa chama cha Labour, Peter Obi kishinda uchaguzi wa Urais katika jimbo la kibiashara la Lagos  ambao ni jiji kubwa Afrika,

Obi, amepata kura 582,454, akifuatiwa na aliyekuwa Gavana wa Lagos, Bola Tinubu wa chama cha All Progressive Congress ambaye amekuwa na namba kubwa ya wafuasi, katika jimbo la Lagos kwa miaka mingi.

Kiongozi wa upinzani Atiku Abubakr, wa chama cha Peoples Democratic Party, amepata kura 75,750.

Wakati wa Kampeni, Obi alikuwa ikiwahimiza wapiga kura kuwakataa washindani wake kutoka vyama ambavyo vimeiongoza Nigeria kwa robo karne, na ambao uongozi wao umejaa ufisadi na ukosefu wa usalama.

Chanzo: dar24.com