Wed, 24 Mar 2021
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Uzinduzi wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ili kuomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya MUungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, kwa mchango mkubwa alioutoa katika mradi huo.
Serikali ya Uganda kupitia mamlaka ya Petroli nchini humo (PAU) imetoa taarifa ikisema uzinduzi huo umeahirishwa hadi mwezi ujao.
PAU imesema Uongozi mahiri wa Rais Magufuli uliweka msingi thabiti kwa mradi huo, ikiwemo makubaliano kati ya Serikali za Nchi hizo mwaka 2017 na makubaliano ya Serikali ya Tanzania mwaka jana.
Chanzo: zanzibar24.co.tz