Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Tanzia Jumatano: Mbunge wa Kiambaa Paul Koinange Afariki Dunia

707242d34ebfbb3d Tanzia Jumatano: Mbunge wa Kiambaa Paul Koinange Afariki Dunia

Wed, 31 Mar 2021 Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke

Mbunge wa Kiambaa Paul Koinange amefariki dunia.

Kifo cha Koinange kilitangazwa Jumatano asubuhi na inaripotiwa alifariki kutokana na makali ya covid-19.

Mbunge huyo alikuwa akipokea matibabu katika hospitali ya Nairobi alipolazwa baada ya kuugua.

Rais Uhuru Kenyatta alituma jumbe zake za pole kwa familia ya Koinange na wakazi wa Kiambaa akitaja kifo hicho kama pigo kubwa.

"Mkono wa kifo tena umechukua kiongozi wetu. Alikuwa ni kiongozi ambaye alijihusisha na amani na maendeleo ya nchi yetu," Rais Kenyatta alisema.

Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke