Tue, 29 Jun 2021
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke
Huku visa vya maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa corona yakizidi kuripotiwa kote ulimweguni, Rais wa Jamhuri ya Tanzania amethibitisha kwamba nchi hiyo inashuhudia wimbi la tatu la mlipuko wa ugonjwa huo.
Huku visa vya maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa corona yakizidi kuripotiwa kote ulimweguni, Rais wa Jamhuri ya Tanzania amethibitisha kwamba nchi hiyo inashuhudia wimbi la tatu la mlipuko wa ugonjwa huo. Akizungumza na vyombo vya habari leo Jumatatu, Juni 28, Rais Suluhu alisema kwamba takriban wagonjwa 70 wamewekwa kwenye oksijeni.
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke