Mon, 31 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wanajeshi wa Burkina Faso wakisaidiana na Vikosi vya Ufaransa wamewaua takriban magaidi 60 kati ya Januari 16, 2022 hadi Januari 23, 2022 katika operesheni ya kupambana na Wanamgambo
Burkina Faso imekuwa ikikabiliwa na mashambulizi ya wanamgambo wenye msimamo mkali wenye uhusiano na Al-Qaida na Islamic State toka mwaka 2015
Zaidi ya watu 2,000 wameuawa na watu milioni 1.5 walikoseshwa makazi tokea Novemba 30, 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live