Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

TB Joshua kuzikwa leo Nigeria

TB Joshua 3 1 660x400.jpeg Mwili wa Mhubiri wa Kimataifa, Marehemu TB Joshua

Fri, 9 Jul 2021 Chanzo: millardayo.com

Leo Ijumaa Julai 9, 2021 maelfu ya waombolezaji wamejitokeza kuaga mwili wa mhubiri maarufu duniani, Temitope Balogun Joshua maarufu TB Joshua anayezikwa leo nchini Nigeria.

TB Joshua alifariki dunia Jumamosi ya Juni 5, 2021 nchini humo akiwa na umri wa miaka 57. Ibada ya kuaga inafanyika katika kanisa Synagogue Church of All Nations (SCOAN) mjini Lagos.

Taratibu za mazishi yake zilianza kufanyika Jumatatu ikianza misa katika kanisa hilo na Jumanne waombolezaji walitoa heshima za mwisho. TB Joshua alijipatia umaarufu kutokana na kuponya watu wa mataifa mbalimbali na huduma yake kuwa maarufu duniani kote.

Chanzo: millardayo.com