Wed, 16 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bunge nchini Sierra Leone kwa kauli moja limeidhinisha Mswada utakaohakikisha kwamba Mmoja kati ya Wabunge Watatu, na theluthi moja ya Madiwani wote ni Wanawake
Hivi sasa ni Wabunge 19 tu kati ya 146 ambao ni Wanawake Nchini humo
Mswada huo sasa utaenda kwa Rais Julius Bio ili kutiwa saini kuwa Sheria, ambapo licha ya kuwa ilikuwa ahadi kuu katika kampeni zake za uchaguzi wa 2018, imechukua Miaka 3 kwa Baraza la Mawaziri kuidhinisha rasimu hiyo
Chanzo: www.tanzaniaweb.live