Wed, 27 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shule ya Mosoriot katika Kaunti ya Bomet imefungwa kwa muda usiojulikana, baada ya kubainika kuwa Mwalimu wa Shule hiyo, Bernard Kirui aliwaingilia kinyume na maumbile watoto 3 wa kiume wenye umri wa miaka 11-13
Taarifa zinasema malalamiko kutoka kwa Wafanyakazi wa shule hiyo yalifanya Uongozi ambapo uchunguzi ulibainisha kuwa mwalimu alikuwa akilala katika bweni la Wavulana licha ya kuwa na chumba alichotengewa na shule hiyo
Aidha, Watoto hao wanapatiwa matibabu na ushauri nasaha huku mtuhumiwa akishikiliwa na Polisi
Chanzo: www.tanzaniaweb.live