Tue, 30 Mar 2021
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke
Sarah Obama, bibi ya Rais wa zamani wa Marekani Barrack Obama, ameaga dunia katika Hospitali ya Jaramogi Oginga Odinga mjini Kisumu akiwa na miaka 99.
Kifo cha Sarah kimethibitishwa na binti yake Marsat .
mengi kufuata......
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke