Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rwanda yaingiza magari 20 ya umeme sokoni

Video Archive
Mon, 29 Nov 2021 Chanzo: millardayo.com

Rwanda ndio Taifa la kwanza Afrika kuingiza magari ya umeme ya Volks Wagen mtaani ambapo tayari magari 20 iliyoyaingiza yameanza majaribio kwenye Mji wa Kigali na kubeba Watu mtaani, Reporter wako Millard Ayo nakupatia info zote unazohitaji kufahamu kwenye magari haya ambayo kwenye gharama yanaokoa pesa asilimia 75 ikilinganishwa na magari yanayotumia petroli.

Rwanda ndio Taifa la kwanza Afrika kuingiza magari ya umeme ya Volks Wagen mtaani ambapo tayari magari 20 iliyoyaingiza yameanza majaribio kwenye Mji wa Kigali na kubeba Watu mtaani, Reporter wako Millard Ayo nakupatia info zote unazohitaji kufahamu kwenye magari haya ambayo kwenye gharama yanaokoa pesa asilimia 75 ikilinganishwa na magari yanayotumia petroli.

Chanzo: millardayo.com