Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ruto aburuzwa kortini

Ruto William Naibu Rais William Ruto

Tue, 22 Mar 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mpiganaji wa Mau Mau, Michael Kirungia amefungua kesi Mahakama Kuu ya Kenya jijini Nairobi akitaka kuondolewa ofisini kwa Naibu wa Rais wa Kenya, Dk William Ruto.

Kesi hiyo ambayo imefunguliwa kwa hati ya dharura na Michael Ki

Kirungia anadai kuwa Dk Ruto ameacha kazi zake za kikatiba kama msaidizi mkuu wa rais na kufanya kazi ambazo anajipangia mwenyewe.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live