Tue, 22 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mpiganaji wa Mau Mau, Michael Kirungia amefungua kesi Mahakama Kuu ya Kenya jijini Nairobi akitaka kuondolewa ofisini kwa Naibu wa Rais wa Kenya, Dk William Ruto.
Kesi hiyo ambayo imefunguliwa kwa hati ya dharura na Michael Ki
Kirungia anadai kuwa Dk Ruto ameacha kazi zake za kikatiba kama msaidizi mkuu wa rais na kufanya kazi ambazo anajipangia mwenyewe.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live