Thu, 23 Jun 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mgombea wa Urais nchini Kenya, William Ruto ameahidi kuwafukuza Wachina wote wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na wazawa, iwapo atashinda uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Agosti 9 mwaka huu.
Mgombea wa Urais nchini Kenya, William Ruto ameahidi kuwafukuza Wachina wote wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na wazawa, iwapo atashinda uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Agosti 9 mwaka huu. Ruto amesema kuwa kuna Wachina wanaouza mahindi ya kuchoma na simu mtaani nchini humo biashara ambazo wazawa wanaweza kuzifanya kikamilifu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live