Tue, 6 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Afrika Kusini ambaye bado anakabiliwa na tuhuma za ubadhilifu, Cyril Ramaphosa amewasilisha ombi lake la kisheria la kutaka ripoti ambayo inaweza kusababisha kushtakiwa kwake kwa uwezekano wa yeye kufanya vitendo vya utovu wa nidhamu kubatilishwa.
Rais wa Afrika Kusini ambaye bado anakabiliwa na tuhuma za ubadhilifu, Cyril Ramaphosa amewasilisha ombi lake la kisheria la kutaka ripoti ambayo inaweza kusababisha kushtakiwa kwake kwa uwezekano wa yeye kufanya vitendo vya utovu wa nidhamu kubatilishwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live