Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Kuzuru Kenya Kuanzia Jumanne Mei 4

Add4f61edc7e2f79 Rais wa Tanzania Samia Suluhu Kuzuru Kenya Kuanzia Jumanne Mei 4

Sun, 2 May 2021 Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke

- Kanze Dena alitangaza kuwa Suluhu atawasili nchini kuanzia Jumanne Mei 4

- Atapokelewa na Rais Uhuru na kisha kufanya mazungumzo naye katika Iku ya Nairobi

- Duru zimearifu Rais anapania kurejesha uhusiano wa karibu kati ya Tanzania na Kenya

Rais wa Tanzania Samia Suluhu anatarajiwa kufanya ziatra humu nchini kuanzia Jumanne Mei 3 kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu.

Kulingana na msemaji wa Ikulu Kanze Dena, Suluhu atapokelewa na Rais Uhuru Kenyatta na kisha wawili hao kufanya kikao katika Ikulu ya Nairobi.

Lengo la kikao hicho ni kumaliza uhasama baina ya Tanzania na Kenya kama ilivyoshuhudiwa wakati wa uongozi wa Rais John Magufuli

Kulingana na duru kutioka Ikulu, Rais Kenyatta anapania kuhakikisha kuwa urafiki katiya Kenya na Tanzania unakua zaidi.

MheshimiwaSamia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Tanzania atawasili humu nchini Juanne Mei 4 kwa ziara ya siku nchini Kenya. Rais Uhuru Kenyatta atampokea mwenzaken Tanzania katika Ikulu ya Nairobi," Kanze alisema.

Ziara hiyo itajiri ikiwa ni wiki chache tu baada ya Waziri wa Michezo kutunmwa n Rais Uhuru nchini Tanzania kujebga urafiki kati ya Kenya na Suluhu.

Leo Rais Suluhu amopkea ujumbe kuitoka kwa Rais wa Keya wakiongozwa na Waziri wa Fedha Amina Mohammed," taafir kutoka Ikulu ya Tanzania ilisema mapema Aprili.

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected] au WhatsaApp: 0732482690.

Tazama habari zaidi hapa TUKO.co.ke

Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke