Wed, 13 Oct 2021
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke
Rais wa Marekani Joe Biden anatarajiwa kukutana na Rais Uhuru Kenyatta katika ikulu ya White House kujadili masuala kadhaa kati ya nchi hizi mbili, Kenya na Marekani
Hii itakuwa mara ya kwanza kwa Biden kukutana na kiongozi wa taifa kutoka Barani Afrika tangu alipoingia madarakani.
Vigogo hao pia wanatarajiwa kujadiliana masuala kadhaa ya kidemokrasia na haki za kbIinadamu, kuboresha usalama na kukuza uchumi wa nchi.
Chanzo: kiswahili.tuko.co.ke