Tue, 26 Jan 2021
Chanzo: habarileo.co.tz
Rais wa Ethiopia, Salhe-Work Zewde amewasili nchini leo katika Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita kwa ziara ya siku moja na kupokelewa na mwenyeji wake rais Dk John Magufuli.
Rais wa Ethiopia, Salhe-Work Zewde amewasili nchini leo katika Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita kwa ziara ya siku moja na kupokelewa na mwenyeji wake rais Dk John Magufuli. Rais Zedwe na mwenyeji wake wanatarajiwa kufanya mazungumzo yenye lengo la kubadilishana mawazo ya kikanda yenye maslahi mapana baina ya nchi hizi mbili.
Chanzo: habarileo.co.tz