Afrika

Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Rais amuita Ikulu muendesha Bodaboda aliyeokota Milioni 115 na kuzirudisha kwa muhusika

Video Archive
Fri, 22 Oct 2021 Chanzo: millardayo.com

Kijana Emmanuel Tuloe (19) ambaye ni Dereva wa Bodaboda Nchini Liberia amejikuta akiitwa Ikulu ya Nchi hiyo na kukutana na Rais George Weah wa Nchi hiyo kutokana na kitendo chake cha kiungwana cha kuokota begi la pesa lenye Dola za kimarekani 50,000 (Tsh. milioni 115.2) na kuzirudisha kwa mwenye nazo, nini kimeendelea? tazama ripoti hii

Kijana Emmanuel Tuloe (19) ambaye ni Dereva wa Bodaboda Nchini Liberia amejikuta akiitwa Ikulu ya Nchi hiyo na kukutana na Rais George Weah wa Nchi hiyo kutokana na kitendo chake cha kiungwana cha kuokota begi la pesa lenye Dola za kimarekani 50,000 (Tsh. milioni 115.2) na kuzirudisha kwa mwenye nazo, nini kimeendelea? tazama ripoti hii

Chanzo: millardayo.com